YOU ARE NOT ALONE

"I can’t give solutions to all of life’s problems, doubts, or fears. But I can listen to you, and together we will search for answers."

karibuni

Karibuni katika blog yetu ambayo itakuwa ikizungumzia kuhusu masuala ya uzazi hasa kwa wale wenye matatizo ya kuchelewa kupata watoto (infertility). Hapa tutajadili chanzo cha matatizo hayo na njia zinazoweza kutumika kuondoa tatizo hilo pamoja na kupeana ushauri na nasaha katika masuala mbalimbali yanayohusu uzazi. "KWA NEEMA YA MUNGU KILA MWANAMKE ATANYONYESHA"

Monday 28 May 2012

HAMASIKA

Fertility Success Stories

Zannyha's Story


Zannyha Martell
Home: Birmingham, Alabama
Child: 12 months


by Connie Matthissen
The first time Zannyha Martell became pregnant, it was a complete surprise. "We weren't even trying," she recalls. "I was 25, and I didn't feel ready to have a child. I thought, 'Wait, I'm too young to have a baby!'"
Zannyha, who moved to the United States from Mexico when she was a teenager, had what she calls a "perfect pregnancy" and an easy delivery — until the last minute, when her baby went into fetal distress and was born dead. "They couldn't find anything wrong," says Zannyha. "They think she may have choked on some phlegm."
After losing their baby, Zannyha and her husband, Miguel, decided to wait before trying again. Three years later, when they decided they were ready, Zannyha couldn't seem to get pregnant.
"It put such stress on our marriage. Sex was no longer fun — my husband was like a machine to me. It was like, 'come on, it's time, get over here!'"
The fertility specialists they consulted couldn't find anything wrong with either of them. One doctor suggested that Zannyha's weight might be impeding conception, so she dropped the extra pounds but still didn't get pregnant. Over the next five years, they sold their house and cashed in their retirement plans so they could afford fertility treatments. After two IVF procedures, she still wasn't pregnant.
"It was a terrible time," Zannyha says today. "It put such a stress on our marriage. Sex was no longer fun -- my husband was like a machine in my eyes. It was like, 'Come on, it's time, get over here!'"
Finally, the fertility specialist told the couple that, even though she could find no physical reason they could not bear a child, there was nothing more she could do. "I just don't think it's going to happen," she said.
"We were very sad," says Zannyha. "But by then, we'd pretty much given up hope."
Six or seven months after they stopped fertility treatments, Zannyha went to the doctor for a checkup. She was concerned because she was tired all the time and kept bursting into tears for no apparent reason. After running several tests, her doctor told her to sit down -- and informed her that she was eight weeks pregnant.
When Zannyha's husband, Miguel, walked in the door from work, she showed him the sonogram. Miguel had come up with the idea that Zannhya had a tumor -- that was what was preventing her from getting pregnant and making her tired -- so when he saw the sonogram, he assumed it was a picture of the tumor.
"When are they going to take it out?" he asked. When she told him it was a baby in the sonogram, not a tumor, he still didn't believe it.
Zannyha now thinks that her infertility was caused at least in part by the trauma of losing her first child. "I was so afraid of going through it all again, even though it was what I wanted more than anything," she says. "The first time, it was such an easy pregnancy, and everything went perfect. But if everything was perfect, how could my baby die? And could it happen all over again?"
Perhaps because she'd tried so hard and for so long, when she finally got pregnant, Zannyha was able to enjoy the experience completely. "I just felt joy and happiness the whole time," she says. "It was considered a high-risk pregnancy because I was 35 and what had happened before. But everything went fine." Gabriella was born in February 2007.
"I've loved every minute of being a mother," says Zannyha. "You hear people complaining about their kids, about getting up in the night, about flus and vomiting. But if you have trouble having a baby, you cherish every minute."

Friday 25 May 2012

Safari ya Wasaka: GOOD NEWS

Wadau nina furaha kubwa sana kuwapa taarifa kuwa msaka mmoja kati yetu amepata POSITIVE PREGNANCY TEST RESULT. Habari hizi tayari zimeshathibishwa na daktari.
Kujua ni msaka yupi huyo na safari yake ilikuwaje, usicheze mbali na hapa nitakuletea profile yake, tusubiri kidogo baby wetu atulie tumboni si mwajua tena tulivyosaka!!!  Kwa niaba ya wasaka team, nachukua nafasi hii kukupongeza mpendwa wetu, mungu akusaidie na akukuzie mtoto wako, na akupe safari nyepesi hadi kujifungua salama bila ya matatizo. KWA NEEMA YA MUNGU KILA MWANAMKE ATANYONYESHA..... SAFARI BADO YAENDELEA....

Friday 11 May 2012

KUELEKEA SIKU YA WAMAMA DUNIANI*** SPECIAL DEDICATION KWA WASAKA WOTE

Katika kuelekea siku ya wamama duniani, naomba nitoe wimbo huu kama maalum kwa wasaka wote. wimbo huu unaonesha ni kiasi gani kila mwanamke anahitaji kuwa mama na kuwa na familia, hii ni kutokana na heshima tunazopewa na mama zetu, na faraja tunazozipata kwa kuwa nao.  Hivyo nasi tunatamani kuwa kama wao. Tunawasukuru mama zetu kwa kutuzaa, kutulea vizuri na kwa mapenzi yote mnayoendelea kutuonyesha, tunawaomba wamama na wanawake wote mtupe sapoti  katika safari yetu hii kwa kila njia inayowezekana ili sote mwakani tuwe tunaitwa Mama. YES..... i would die for that.

SHUKRANI MAALUM KWA MAMA YANGU MZAZI, NAJUA UNANIPENDA NA KUNISAIDIA KWA KILA HALI, ILA UKWELI SIKUJUA NI KIASI GANI ULIKUWA UKIUMIA KWA KUCHELEWA KWANGU KUPATA MTOTO HADI SIKU NILIYOJIFUNGUA NA KUNIAMBIA KUWA ULIWEKA NADHIRI KIKIZAA UTASOMA MAULID  NILIPATWA NA MSHANGAO NA SIKUJUA NIKUAMBIE NINI. AHSANTE SANA MAMA, YOU ARE THE BEST, LOVE YOU SOOOOO MUCH.

JIACHIE: Unapokutana na vitu vya watoto madukani unajisikiaje?

katika kitu ambacho huwezi kukiepuka ni kuona vitu vya watoto, hasa ukiwa ni mtu unaependa kutembea sana madukani. hebu mdau leo funguka useme  unavyojisikia pale unapokutana navyo....

pangine familia haikuelewi, wakwe ndio usiseme, huenda hata na mume nae hakusomi vizuri. kwanini ufe na tai shingoni!!! jiachie shosti hapa ndio penyewe, mwanamke na uzazi ipo kwa ajili yako.

blue baby bootiesblue baby crib baby bottlepink diaperbaby comb and brush

basi niwaambie ya kwangu; msinicheke lakini.. au nijicheke mwenyewe? hahahaahha!!
kuna siku mwenzenu nilienda mlimani city wakati bado mpya mpya, na mimi wakati huo ndio nasaka kwa kwenda mbele, nikajidai kuingia game na mimi nikashangae lol!!! basi nikatembea tembea nikakutana na ile section ya watoto, na wanavyojua kupanga vitu vizuri basi, nikajisogeza duh nikaona vitu vizuriiiii lakini ndio sina uwezo wa kuvinunua. Jamani mwenzenu niliganda pale nilipokuwa kama nimewekwa super glue, miguu hata kunyanyua siwezi, nikahisi kama kitu kimenikaba rohoni  na machozi yanataka kunitoka, nikamuona muhudumu anatembea kuelekea nilipo mimi basi ikabidi nijikaze nikafanya kama natoa kitu machoni kumbe nafuta machozi huyoooo nikaishia zangu na mlimani city hapakukalika tena

Sunday 6 May 2012

WAIT

By Russell Kelfer
Desperately, helplessly, longingly, i cried;
Quietly, patiently, lovingly, God replied.
I pled and I wept for a clue to my fate...
And the Master so gently said, "Wait."

"Wait? you say wait?" my indignant reply.
"Lord, I need answers, I need to know why!
Is your hand shortened? Or have you not heard?
By faith I have asked, and I'm claiming your Word.

"My future and all to which I relate
Hangs in the balance, and you tell me to wait?
I'm needing a 'yes', a go-ahead sign,
Or even a 'no' to which I can resign.

'You promised, dear Lord, that if we believe,
We need but to ask, and we shall receive.
and Lord I've been asking, and this is my cry;
I'm weary of asking! I need a reply."

Then quietly, softly, I learned of my fate,
As my Master replied again, "Wait"
So I slumped in my chair, defeated and taut,
And grumbled to God, "So, I'm waiting for what?"

He seemed then to kneel, and His eyes met with mine...
and He tenderly said, "I could give you a sign.
I could shake the heavens and darken the sun.
I could raise the dead and cause mountains to run.

I could give all you seek and pleased you will be.
You'd have what you want, but you wouldn't  know Me.
You'd not know the depth of my love for each saint.
You'd not know the power that I give to the faint.

You'd not learn to see through clouds of despair;
You'd not learn to trust just by knowing I'm there.
You'd not know the joy of resting in Me.
When darkness and silence are all you can see.

You'd never experience the fullness of love
when the peace of My spirit descends like a dove.
You would know that I give, and I save, for a start,
But you'd not know the depth of the beat of My heart.

The glow of my comfort late into the night,
The faith that I give when you walk without sight.
The depth that's beyond getting just what you ask
From an infinite God who makes what you have last.

You'd never know, should your pain quickly flee,
What it means that My grace is sufficient for thee.
Yes, your dearest dreams overnight would come true,
But, oh, the loss, if you missed what I'm doing in you.

So, be silent, my child, and in time you will see
that the greatest of gifts is to truly know me.
And though oft My answers seem terribly late,
My most precious answer of all is still...Wait"

Source: www.donnarosestewart.com

NIMERUDI

Habari wapendwa, samahani kwa kutokuwa nanyi kwa muda, nilizidiwa kidogo na majukumu ya kikazi, kifamilia na pia nilipatwa na msiba wa kaka yangu. Kwa muda wote wote huo mlikuwa mawazoni mwangu na nikaahidi nikipata nafasi tu nitaandika niwajulishe kuwa tuko pamoja.
Kwanza niwape mrejesho wa ile siri yetu, tulifanikiwa kuipata na kila mmoja wetu kati ya wasaka 10 (kama ulitusahau ingia hapa kikosi kamili) anaendelea na mapambano. Mimi binafsi nilishatumia mwezi uliopita na sasa nimerudia mara ya pili nasubiri matokeo... kujua zaidi kuhusu kitakachojiri usikose kusoma ile sehemu yetu pendwa "SAFARI YA WASAKA". Bila kusahau, maombi na dua zenu bado zinahitajika kwa saaana.